Revelation of John 9:11

11 aWalikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni.
Abadoni au Apolioni maana yake ni Mharabu, yaani Yule aharibuye.

Copyright information for SwhKC